(Its S2kizzy Beiby)
Pour la vie, je t'aime pour la vie
Ooh mon amour, je t'aime pour la vie
Nikiwa karibu na wewe yeah
Ooh I can't breath
Nikiwa karibu na wewe yeah
Boy you make me weak
Ooh I get shivers
When the sun hits your brown eyes
Baby live the way I now comply
Napenda ukinipapasa (pararararara)
Mmmh yeah (pararararara)
Roho unanitakasa (pararararara)
Ooh, yeah (pararararara)
Je t'aimerai pour la vie (pararararara)
Ooh pour la vie (pararararara)
Roho unanitakasa (pararararara)
Ooh, yeah (pararararara)
Umenivunja vunja viungo vya mwili
Kwako niko hoi taabani
Dumba dumba zimekidhiri
Mambo doi doi tafarani
Uzi kaudungwa kwa sindano
Moyo ukaushona (ahaaa)
Nikiteleza kwenye mabano
Konakona (ahaaa)
Nilaze kifuani mwako
Nikihema taratibu mama
Sheshena kwa michezo yako
Mwalimu umeniharibu mama
Pour la vie, je t'aime pour la vie
Ooh mon amour, je t'aime pour la vie
Napenda ukinipapasa (pararararara)
Mmmh yeah (pararararara)
Roho unanitakasa (pararararara)
Ooh, yeah (pararararara)
Je t'aimerai pour la vie (pararararara)
Ooh pour la vie (pararararara)
Roho unanitakasa (pararararara)
Ooh, yeah (pararararara)
Aah! Ukinigusa kiuno
Aah! Ukinichum chum
Aah! I feel you when am with you
Aah I love you!
Aah! Ulimi kwa shingo ukiutambaza
Aah! Akili inasafiri
Aah! Ooh unaniuliwaza
Aah I love you!
(Laizer on the Mix)